Pages

Monday, March 10, 2014

TAZAMA PICHA 20 SKYLIGHT BAND WALIVYOFUNIKA KWENYE NYAMA CHOMA FESTIVAL

DSC_0472

Sam Mapenzi na Sony Masamba wakitoa burudani ya aina yake kwenye tamasha la Nyama Choma lililofanyika Jumamosi hii kwenye vianjwa vya Posta jijini Dar ambapo Skylight Band iliongoza kwa kukusanya mashabiki lukuki.
DSC_0471
Sam Mapenzi wa Skylight Band akishindana na mmoja wa mashabiki kucheza wimbo wa Davido SKELEWU.
DSC_0441
SKELEWU SKELEWU SKELELEEE.......!!
DSC_0435
DSC_0491
DSC_0446
DSC_0504
Vijana wa Skylight Band wakishambulia jukwaa.
DSC_0478
Mashabiki wakijiachia wakati Skylight Band ilipokuwa ikitumbuiza kwenye Tamasha la Nyama Choma lilofanyika Jumamosi hii ndani ya viwanja vya Posta Kijitonyama jijini Dar.
DSC_0413
Winfrida Richard (katikati), Hashim Donode pamoja na Digna Mbepera wakiwapa raha mashabiki wa Skylight Band kwenye tamasha la Nyama Choma ndani ya viwanja vya Posta Kijitonyama jijini Dar.
DSC_0415
DSC_0499
Burudani zilikuwa nyingi kwenye tamasha la Nyama Choma lakini Skylight Band ilifunika kwenye kuteka mamia ya mashabiki.
DSC_0462
Umati wa wakazi wa jijini Dar wakipata burudani ya aina yake kwenye tamasha la Nyama Choma wakati Skylight Band ikitumbuiza.
DSC_0473
DSC_0460
Mashabiki wa Skylight Band waliamua kupanda jukwaani na kuonyeshana ufundi.
DSC_0453
Dar es Salaam are you feeling the music..........yeah......!!!
DSC_0481
Daudi Tumba na mpiga Bass wa Skylight Band Chili Chala wakifanya yao jukwaani.
DSC_0418
Mdau Laurean Kiiza akishusha kinywaji chake baridi...ilikuwa ni mara yake ya kwanza kushuhudia Live Performance ya Skylight Band na sasa ameahidi kuwa mdau mkubwa wa Bendi hiyo.
DSC_0433
Ukizingatia ilikuwa ni siku ya Wanawake Duniani walipataje raha na Skylight Band....!
DSC_0518
Mtaalam wa Nyama Choma akifanya yake ndani ya viwanja vya Posta.
DSC_0516
Kuku wakiwa kwenye hatua za maandalizi.
DSC_0424
Familia ya Skylight Band ikiongozwa na Mkurugenzi mkuu wa Band hiyo Dr. Sebastian Ndege.
DSC_0535
Mmilikiwa Duka la Zuri Fashion Boutique, Fashionista ambaye pia ni Blogger dada Jestina George akishow love na shemeji yake kwenye Nyama Choma Festival iliyofanyika kwenye viwanja vya Posta.
DSC_0524
When Bloggers meet! Operations Manager wa MOblog Zainul Mzige akipata ukodak na Blogger Jestina George...hawa jamaa walikuwa wakiwasiliana kwa njia ya barua pepe katika kupashana habari, hatimaye walikutana uso kwa uso kwenye Nyama Choma Festival ndani viwanja vya Posta.
DSC_0399
Pichani juu na chini ni baadhi ya wadau walihudhuria Nyama Choma Festival iliyofanyika Jumamosi hii kwenye viwanja vya Posta jijini Dar.
DSC_0556
Mzee wa Skonga ya EATV Allan Lucky akishow love na warembo ndani ya Nyama Choma Festival.
DSC_0511
DSC_0522
Mrs. Lucky pamoja na wifi yake.
DSC_0560
DSC_0579
Mdau Emmanuel akishow love na mrembo wa ukweeeh ndani ya viwanja vya Posta.
DSC_0571
Model Danny David pamoja na Noel Ndale wakipata Ukodak kwenye Nyama Choma Festival.
DSC_0576
Noel Ndale akishow love na mrembo kwenye band la Jack Daniel's.
DSC_0574

No comments:

Post a Comment