Shilole na Nuh Mziwanda ni miongoni mwa mastaa wa bongo flevah waliokinukisha na kuwapagawisha mashabiki waliofurika kwenye ‘Turn Down For What’, iliyoandaliwa na Diva Wild Events huku mtangazaji wa Ala Za Roho ya Clouds FM, Diva The Bawse ndiye alikuwa host wa show hiyo.




No comments:
Post a Comment