Pages

Sunday, August 17, 2014

TAZAMA PICHA 10 ZA SHOW DULLY SYKES MAISHA CLUB NI NOMA,TUNDA MAN AOGESHWA KWA POMBE

 MC wa shoo nzima ya Dully Sykes, Gilla "The Boss" akifanya ya kwake kwenye stage

 Madansa wakiwapagawisha  mashabiki wao.






 P the MC kifanya ya kwake kwenye Stage
 Buibui akiimba kwenye jukwaa la Maisha Club iliyopo jijini Dar
Msanii Afromaniac hapa ni mwendo wa kutoa kitu na kuweka kitu
 Mirror
 Mo Racka naye hakukosa kwenye shoo ya Dully Sykes iliyofanyika kwenye club ya maisha
 Shetta akiiingia kwa stage

 Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Shetta akiwapagawisha mashabiki wake kwenye shoo ya Dully Sykes kwenye club ya Maisha jijini Dar usiku wa kuamkia leo

  Tunda Man akimwagiwa pombe wakati anasherekea siku yake ya kuzaliwa haya yote yametikea kwenye club ya Maisha ya jijini Dar.
 Hyperman HK(wa kwanza Kushoto) akizungumza jambo kwenye shoo ya Dully Sykes
 Dully Sykes akiwa amesomama kwenye stage baada ya kupanda kwa ajili ya kuwaburudisha mshbiki wake waliofika kwa ajili ya kushangweka
 Dully Sykes akikata kiuno wakati anaimba moja ya nyimbo zake

 Msanii wa muziki kipya, Dully Sykes akiwapagawisha mashabiki wake kwenye club ya Maish jijini Dar
 Dully Sykes akumkumbatia Q Chillar baada ya kupanda kwenye stage 
Burudani ikiendelea

Umati mkubwa wa watu uliofika kutizama shoo ya Dully Sykes kwenye club ya Maisha jijini Dar

No comments:

Post a Comment