Pages

Monday, November 25, 2013

EPIQ BONGO STAR SEARCH FINAL NI JUMAMOSI HIII 30-11-2013 @ESCAPE 1


BSS 
Lile shindano lako kubwa la Epiq Bongo Star Search imekaribia na litafanyika pale kwenye ukumbi wa ESCAPE 1 na mshindi kuondoka na Mil 50 CASH. Tiketi kawaida zitauzwa kwa sh elfu 20 na VIP zitakuwa sh elfu 50.
Wasanii watakaosindikiza shindano hilo ni pamoja na Barnaba, Peter Msechu, Young Killer, Shaa, Water Chilambo, Snura, Makomandoo pamoja na Bora Bora Band, kwenye mashine atakuwa DJ SUMMER

No comments:

Post a Comment