Pages

Tuesday, March 11, 2014

Huyu mrembo anaitwa Sofia, ndio ataonekana kwenye video mpya ya OmmyDimpoz aliyofanya London


Screen Shot 2014-03-11 at 12.20.14 PM
Ommy Dimpoz amerudi Tanzania March 10 2014 saa tano usiku ambapo AyoTV na millardayo.com ziliweza kumnasa baada ya kushuka.
Amethibitisha ni kweli amefanya video yake mpya London ambapo aliehusika kama Director ni mshkaji ambae amefanya video kadhaa za wakubwa wa Afrika kama Azonto ya FUSE ODG, video za caro ya Wizkid na Davido ‘skelewu’
Screen Shot 2014-03-11 at 12.19.56 PM
Screen Shot 2014-03-11 at 12.18.33 PM
Screen Shot 2014-03-11 at 12.18.42 PM
Screen Shot 2014-03-11 at 12.19.03 PMHizi zinazofata hapa chini ni baadhi ya pichaz tu za utengenezwaji wa video hii mpya ya Ommy Dimpoz huko London.
Screen Shot 2014-03-11 at 12.19.24 PM
Screen Shot 2014-03-11 at 12.19.37 PM
Screen Shot 2014-03-11 at 12.23.39 PM

Huyu hapa chini ndio Director mwenyewe anaitwa Moe Musa Mwingereza mwenye asili ya Nigeria ambae unaambiwa gharama ya video anazozifanya ni kuanzia dola za kimarekani elfu 20 na kuendelea, kwa haraka haraka ni zaidi ya milioni 30.
Screen Shot 2014-03-11 at 12.24.49 PM
Screen Shot 2014-03-11 at 12.24.58 PM

No comments:

Post a Comment