Pages

Friday, April 25, 2014

MTOTO WA KAJALA NAYE AJITOSA BIFU LA MAMA YAKE NA SUPER STAR WEMA SEPETU SOMA ALICHOSEMA CLOUDS FM



Kutokana na ugomvi unaoendelea kati ya Wema Sepetu na Kajala Masanja,mtoto wa Kajala aitwaye Paulette amesema anaumizwa na ugomvi huo na kwamba amekuwa akimtumia ujumbe Wema kumweleza anavyompenda.
Kajala Masanja aliwa na mwanae Pauna
Kajala Masanja akiwa na mwanae Pauna

Paulette alikuwa akizungumza na ‘Movie Leo’ ya kipindi cha Leo Tena cha Clouds FM.


“Vimekuwa vinaniuma sana ila hata kama wakisema vitu vyote ataendelea kuwa mama yangu,” alisema. “Mimi naona mama yangu hana makosa yoyote wanavyomtukana,mimi nakuaga najisikia sana vibaya. Namwambia (Wema) mama yangu Hata kama amekoseA kitu chochote amsamehe kwasababu mimi nampenda Wema kama aunt yangu na ninampenda mama yangu tena sipendi nikiona wanatukanana wala nini napenda wawe marafiki,nataka nimwambie Wema nampenda sana,” alisema. Paula.

No comments:

Post a Comment